Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili jijini Rio de Janeiro, Brazil
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili jijini Rio de Janeiro, Brazil leo 16 Novemba, 2024 tayari kwa kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Kundi la G20 kufuatia mualiko wa Rais wa Brazil, Mhe.…