Wizara ya Mambo ya Nje yapokea magari ya msaada
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) (katikati), akipokea funguo za Magari aina ya Toyota Land Cruiser kutoka kwa Balozi wa Omani hapa nchini, Mhe. Ali Abdullah Al Mahruqi.…