TAARIFA KWA UMMA Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya umeandaa Misa Maalum ya kumbukumbu ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itakayofanyika tarehe 14 Oktoba, 2017 katika Kanisa la Holy Family Basilica, Nairobi kuanzia saa 4.00 hadi saa…
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda (kulia), akimkabidhi Rais wa India Mhe. Ram Nath Kovind, hati ya utambulisho kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.