NAIBU WAZIRI LONDO ATOA RAI KWA HALMASHAURI KUCHECHEMUA FURSA ZA BIASHARA MIPAKANI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. Dennis Londo (Mb.) ameeleza kuwa Serikali imejipanga kuzisimamia na kuziwezesha Halmashauri hususan za mipakani kuwa…