Skip to main content

MABALOZI WATEMBELEA BANDARI YA MALINDI

Mabalozi wa Tanzania wanaoshiriki Mkutano wa Mabalozi unaofanyika mjini Zanzibar wametembelea bandari ya Malindi leo tarehe 17 Novemba 2022 na kujionea jinsi bandari hiyo inavyofanya kazi.Mabalozi hao pia wametembelea eneo la Mangapwani…