WAZIRI MAKAMBA; DUNIA INAHITAJI MFUMO MPYA WA MAAMUZI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb), ameieleza Jumuiya ya Kimataifa kuhusu umuhimu wa kuwa na mifumo mipya ya kimataifa itakayo zingatia haki na usawa katika kufanya maamuzi hasa kwa…
TANZANIA – PANAMA KUANZISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
Tanzania na Panama zimefungua mlango wa majadiliano wa kuanzisha ushirikiano katika sekta mbalimbali za uchumi kwa maslahi mapana ya pande zote mbili. Miongoni mwa sekta zinazoangaziwa kwenye ushirikiano huo ni pamoja na utalii, biashara…
WAZIRI MAKAMBA KUENDELEA KUIPAISHA DIPLOMASIA YA UCHUMI KATIKA MKUTANO WA RAISINA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Mheshimiwa January Makamba (Mb), anatarajiwa kushiriki katika Mkutano wa 9 wa RAISINA (9TH RAISINA Dialogue) unaotarajiwa kufanyika nchini India kuanzia Februari…
RAIS SAMIA AWATAKA DIASPORA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUITANGAZA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehamasisha Watanzania wanaoishi nje ya nchi yaa Diaspora kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali katika kuitangaza nchi kwenye maeneo waliyopo…
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA KONGAMANO NA MAONESHO YA 11 YA PETROLI AFRIKA MASHARIKI
Mkutano wa 16 wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Nishati la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeipitisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Kongamano na Maonesho ya 11 ya Petroli Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika…
AKATIBU WAKUU WANAOSIMAMIA SEKTA YA NISHATI WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI ARUSHA
Makatibu Wakuu wanaosimamia Sekta ya Nishati katika Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana jijini Arusha katika mkutano wa 16 wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Nishati la EAC unaoendelea jijini humo.Mkutano…