AKATIBU WAKUU WANAOSIMAMIA SEKTA YA NISHATI WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI ARUSHA
Makatibu Wakuu wanaosimamia Sekta ya Nishati katika Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana jijini Arusha katika mkutano wa 16 wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Nishati la EAC unaoendelea jijini humo.Mkutano…