KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imefanya ziara jijini Arusha leo tarehe 15 Juni, 2024 ili kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu.Baada ya…