Skip to main content

News and Events

Rais Samia Azindua Sera ya Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Mambo ya Mje ya Mwaka 2001, Toleo la Mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…

Waziri Kombo awasili nchini Uganda

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mjumbe maalum, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Kampala Uganda na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Uganda Mhe. Maj. Gen. Poul K Simuli katika Uwanja…

Rais Dkt. Mwinyi ateta na Mabalozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali kuzingatia diplomasia ya uchumi na kuzitangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini.Rais…