Mhe. Waziri Mahiga akisisitiza jambo katika mazungumzo yaliyofanyika Ubalozini hapo, lengo la mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine ni kuzidi kuboresha mahusiano yaliyopo kati ya Tanzania na Palestina.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akimkaribisha Balozi wa Denmark nchini Mhe. Einar Hebogard Jensen walipokutana katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Mei 2018.