DKT. TAX AMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MKUTANO WA 10 WA DHARURA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA JUMUIYA YA NCHI ZA MAZIWA MAKUU JIJINI LUANDA, ANGOLA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 10 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi…