RAIS DKT. MWINYI AWAKARIBISHA WAROMANIA KUWEKEZA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezikaribisha kampuni za Romania kuja kuwekeza Zanzibar katika sekta za Uchumi wa Buluu na Utalii ambazo ni sekta za kipaumbele kwa Serikali ya Mapinduzi…