RAIS PEREIRA AFUNGUA MWAKA MPYA WA MAHAKAMA YA UMOJA WA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU NA WATU RASMI JIJINI ARUSHA
Rais wa Jamhuri ya Cabo Verde Mhe. José Maria Pereira Neves, amezitaka nchi za Afrika kuimarisha demokrasia na Utawala bora ili kuepuka kujirudiarudia kwa makosa yaliyotokana na nchi kutawaliwa na wakoloni na kusababisha baadhi yake…