TANZANIA NA NAMIBIA ZASAINI HATI ZA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri Namibia zimesaini Hati za Makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya usalama, mishati na mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia. Hati za Makubaliano hayo zimesainiwa katika Mkutano…