RAIS SAMIA AWATAKA DIASPORA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUITANGAZA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehamasisha Watanzania wanaoishi nje ya nchi yaa Diaspora kuunga mkono jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali katika kuitangaza nchi kwenye maeneo waliyopo…