PROF. KABUDI APOKEA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO ZA MABALOZI WATEULE
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amekutana na kupokea nakala za hati za utambulisho za mabalozi wateule hapa nchini pamoja na hati ya utambulisho ya Konseli Mkuu wa China…