NJE – SPORTS YAPONGEZWA NA UONGOZI NA MENEJIMENTI YA WIZARA
Pongezi hizo zimewasilishwa na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu (ADA) Bw. Kawina Kawina alipotembelea na kuzungumza na wachezaji wa timu hiyo walioweka kambi kwenye milima ya Uluguru.Katika mazungumzo…