Rais Samia ampongeza Rais wa Comoro, kwa uongozi safi na wenye maono katika kuleta maendeleo ya wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassa amempongeza Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Mhe. Azali Assoumani kwa uongozi safi na wenye maono katika kuleta maendeleo ya wananchi wake.Rais Samia ametoa pongezi…