Wakuu wa Nchi EAC- SADC wajadili hali ya Usalama Nchini DRC
Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa Jamuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamefanya mkutano wa dharura wa pamoja (EAC-SADC Joint Extra-Ordinary Summit) kwa njia ya mtandao tarehe…
Waziri Kombo afungua mkutano wa 27 wa MCO ya SADC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Thabit Mhamoud Kombo, amefungua Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama (MCO), katika…
Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri ya SADC ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama Waanza
Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama (MCO) unaofanyika nchini tarehe 21-25 Julai,2025 umeanza katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius…
Balozi Said Shaib Mussa ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus Mhe. Constantinos Kombos
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashaririki Mhe. Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyrus Mhe. Constantinos Kombos, katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini…
Rais Samia ampongeza Rais wa Comoro, kwa uongozi safi na wenye maono katika kuleta maendeleo ya wananchi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassa amempongeza Rais wa Umoja wa Visiwa vya Comoro, Mhe. Azali Assoumani kwa uongozi safi na wenye maono katika kuleta maendeleo ya wananchi wake.Rais Samia ametoa pongezi…
Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Shirikisho la Somalia, Mhe. Abdisalam Abdi Ali
Leo Tarehe 29 Juni, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Said Shaib Mussa amempokea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Shirikisho la Somalia,…