Rais Samia Azindua Sera ya Mambo ya Nje
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Mambo ya Mje ya Mwaka 2001, Toleo la Mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…
Tanzania na Finland kuimarisha Ushirikiano katika Usimamizi wa Amani na Usuluhishi wa migogoro
Rais wa Jamhuri ya Finland, Mhe. Alexander Stubb amesema Serikali ya Finland itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania ili kuhakikisha juhudi za pamoja zinatekelezwa katika usimamizi wa amani na usuluhishi wa migogoro Barani Afrika…
TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUONGEZA WIGO WA USHIRIKIANO
TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUONGEZA WIGO WA USHIRIKIANOJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Finland zimekubaliana kuanzisha maeneo mapya ya ushirikiano huku kipaombele kikiwekwa zaidi kwenye masuala ya maendeleo ya kiuchumi…
Waziri Kombo awasili nchini Uganda
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mjumbe maalum, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Kampala Uganda na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Uganda Mhe. Maj. Gen. Poul K Simuli katika Uwanja…
Tanzania and South Africa Agree to Strengthen Economic Cooperation
Tanzania and South Africa have agreed to continue working together to strengthen economic cooperation between the two countries.The agreement was reached during a meeting between the Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation,…