RAIS SAMIA AWATAKA MABALOZI KUENDANA NA MABADILIKO YA DUNIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi kuendana na mabadiliko ya dunia katika utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ili ilete tija zaidi kwa Taifa.Rais Samia ametoa…