WATANZANIA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA NCHI WANAZOISHI
Watanzania wametakiwa kuwa mabalozi wazuri katika nchi za ugenini kwa kuzingatia na kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi hizo ili kulinda taswira nzuri ya nchi yao. Rai hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…