Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wametakiwa kuvuna uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu na wwbobevu ambao waliupata baada ya kutumikia nchi hii kwa uadilifu mkubwa na kusaidia kupaisha diplomasia…
Mkutano wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Mazingira na usimamizi wa Maliasili la Afrika Mashariki umefanyika leo tarehe 01 Novemba 2024 jijini Arusha.Katika Mkutano huo Ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Mhe. Balozi Dkt. Pindi H. Chana;…
Mawaziri wanaosimamia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango katika Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa mipango, maagizo na makubaliano mbalimbali yaliyofikiwa katika Jumuiya.Hayo…
Mkutano wa 34 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki linaloshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango umeanza leo tarehe 04 Novemba 2024 jijini Arusha.Mkutano unaotarajiwa kufanyika kwa siku tano kuanzia…
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imefanikiwa kupeleka waandishi waendesha Ofisi 16 kwenye mafunzo ya matumizi fasaha ya Kiswahili Sanifu, yanayoendeshwa na Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA). Mafunzo hayo…
Mkuu wa Missoni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Africa (SADC-SEOM) Mhe. Mizengo Pinda (kulia) akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mhe. Elias Magosi walipokutana…
Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya SADC (SEOM) katika Uchaguzi Mkuu wa Botswana, Mhe. Mizengo Pinda, amezindua misheni hiyo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Baraza la SADC la Siasa, Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano…