BALOZI BRIGEDIA JENERALI WILBERT IBUGE AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Mhe. Wang Ke ofisini kwake jijini Dodoma. Katika kikao hicho Katibu…