WAZIRI MAKAMBA KUENDELEA KUIPAISHA DIPLOMASIA YA UCHUMI KATIKA MKUTANO WA RAISINA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Mheshimiwa January Makamba (Mb), anatarajiwa kushiriki katika Mkutano wa 9 wa RAISINA (9TH RAISINA Dialogue) unaotarajiwa kufanyika nchini India kuanzia Februari…