Madereva Comoro Waangazia Fursa Tanzania
Mkutano baina ya Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu na Viongozi wa Umoja wa Madereva Nchini humo ambapo viongozi hao wamefika kuangalia fursa za ushirikiano na wenzao wa Tanzania ikiwa ni pamoja na mafunzo hususan kwa vyombo…