Balozi, Dkt. Samwel W. Shelukindo aongoza Mkutano Kamati ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Ulinzi na Usalama SADC
Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Makatibu Wakuu wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye Tanzania ni Mwenyekiti wa kamati hiyo kinafanyika Zanzibar Januari 04, 2025. Kikao hicho kimeitishwa…