WAANDISHI WAPIGWA MSASA KUHUSU MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA
Imeelezwa kuwa Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo.Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Ushirikiano…