KAMPUNI YA MABASI YA CLASSIC COACH KUTANGAZA FILAMU YA THE ROYAL TOUR NCHINI DRC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax ameipongeza na kuishukuru kampuni ya Mabasi ya Classic Coach kwa uamuzi wake wa kizalendo wa kukubali kuonesha filamu ya The Royal Tour iliyotafsiriwa…