Skip to main content

News and Events

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA 2023/2024

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 ya Shilingi 247,971,524,000 ambapo kati ya fedha hizo, Shilingi 230,083,916,000…

SALAMU ZA RAMBIRAMBI

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea kwa mshtuko, taarifa za kifo cha Mhe. Bernard Kamillius Membe, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (2007-2015). Kama Waziri wa…