NJE – SPORTS YAONESHA DIPLOMASIA YA MICHEZO INAVYOTEKELEZWA KWA VITENDO DHIDI YA TAKUKURU
Leo tarehe 27 Septemba, 2024 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Mhe. Denis Londo amefika na kujionea Mtanange kati ya Timu ya Nje Sports wanaume na vijana wa…