WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA MADOLA KUKUTANA RWANDA
Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Madola hatimaye unafanyika jijini Kigali, Rwanda baada ya kuahirishwa mara mbili (2020 na 2021) kwa sababu ya ugonjwa wa Corona. Mkutano huo unaofanyika kuanzia tarehe 20 hadi…