UJUMBE WA TANZANIA WASHIRIKI MAZOEZI YA ‘Walk the Talk’
Brazzaville, Congo 25 Agosti 2024Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, wameungana na mgombea wa Tanzania kwa nafasi ya Mkurugenzi…