RAIS DKT. MWINYI AZUNGUMZA NA RAIS WIDODO WA INDONESIA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo tarehe 2 Septemba 2024 jijini Bali, Indonesia amefanya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo, Mhe. Joko Widodo kuhusu masuala mbalimbali ya kuimarisha…