WAZIRI VICKY FORD AZINDUA MPANGO WA ‘SHULE BORA’ KIBAHA
Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika, Amerika ya Kusini na Visiwa vya Karibian Mhe. Vicky Ford amezindua mpango wa elimu unaojulikana kama ‘Shule Bora’ Kibaha mkoani Pwani. Mhe. Ford amesema mpango wa…