TANZANIA YAONESHA NJIA MISSION 300
Tanzania imetajwa kama nchi iliyoonesha njia katika kufikia azma ya kufikisha umeme kwa watu milioni 300 barani Afrika ifikapo mwaka 2030.Hayo yamejiri wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati unaofanyika kwenye…
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, amewasili nchini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, utakaofanyika tarehe 27 hadi 28 Januari 2025 katika Kituo cha Kimataifa…
Rais wa Sierra Leone Awasili nchini
Rais wa Jamhuri ya Sierra Leone, Mheshimiwa Julius Maada Bio, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaotarajiwa kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha …
Madereva Comoro Waangazia Fursa Tanzania
Mkutano baina ya Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu na Viongozi wa Umoja wa Madereva Nchini humo ambapo viongozi hao wamefika kuangalia fursa za ushirikiano na wenzao wa Tanzania ikiwa ni pamoja na mafunzo hususan kwa vyombo…
DIASPORA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUCHANGAMKIA FURSA
Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na wananchi.Ahadi hiyo wameitoa Januari 18, 2025 walipofanya kikao na Waziri wa Mambo ya…