Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kazakhstan awasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kazakhstan mwenye makazi yake mjini Pretoria, nchini Afrika Kusini, Mhe. Yerkin Akhinzhanov amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…