Skip to main content

Waziri Mkuu wa Ubelgiji Mjini Dodoma

Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akiwa na mgeni wake Mhe. Didier Reynders, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ubelgiji mara baada ya kuwasili Mjini Dodoma kwa mazungumzo na viongozi mbalimbali wa Serikali leo tarehe 6 Juni…

Maadhimisho ya Siku ya Umoja wa Afrika

Tanzania inaungana na nchi nyingine za Bara la Afrika kusherehekea Siku ya Afrika inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 25 Mei. Sherehe hizo hufanyika kuadhimisha siku ya kuundwa  kwa Muungano wa Nchi za Afrika (OAU) Mwaka 1963…

Waziri Mahiga Akutana na Waziri wa Korea

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augistine Mahiga (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Mipango na Uratibu kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Korea, Mhe. Balozi Paik Ji-ah. Mazungumzo yao yalijikita…

Wimbo na Bendera ya Afrika Mashariki

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kutoa utaratibu wa matumizi ya Bendera na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  kama ilivyotangazwa hivi karibuni. Utaratibu huo ni kwamba  Bendera ya…