TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUONGEZA WIGO WA USHIRIKIANO
TANZANIA NA FINLAND ZAKUBALIANA KUONGEZA WIGO WA USHIRIKIANOJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Finland zimekubaliana kuanzisha maeneo mapya ya ushirikiano huku kipaombele kikiwekwa zaidi kwenye masuala ya maendeleo ya kiuchumi…
Waziri Kombo awasili nchini Uganda
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mjumbe maalum, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Kampala Uganda na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Uganda Mhe. Maj. Gen. Poul K Simuli katika Uwanja…
Tanzania and South Africa Agree to Strengthen Economic Cooperation
Tanzania and South Africa have agreed to continue working together to strengthen economic cooperation between the two countries.The agreement was reached during a meeting between the Minister for Foreign Affairs and East African Cooperation,…
UGANDA YAZINDUA UJENZI WA OFISI YA UBALOZI JIJINI DODOMA
Serikali ya Jamhuri ya Uganda imezindua mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi ya Ubalozi wake ambao utekelezaji wake umeshaanza kufanyika katika mjini wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi…
Rais Dkt. Mwinyi ateta na Mabalozi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali kuzingatia diplomasia ya uchumi na kuzitangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini.Rais…
Balozi Mteule wa Jamhuri ya Cyprus, awasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Tarehe 27 Machi, 2025 Balozi Mteule wa Jamhuri ya Cyprus mwenye makazi yake Nairobi Kenya, Mhe. Savvas Viadimirou amewasilisha nakala ya hati za utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, anayeshughulikia…
Mhe. Londo Apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Jamhuri ya Tunisia
Tarehe 27 Machi, 2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. Dennis Londo (Mb) amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya…