WAZIRI KOMBO AAGANA NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo ameagana na Balozi wa Algeria Mhe. Ahmed Djellal aliyefika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam kuaga kwa kumaliza muda wake…