Balozi. Mbarouk Nassoro Mbarouk kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan amepokea ujumbe maalum wa Rais wa Indonesia
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mbarouk Mbarouk (Mb) kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalumu wa Rais wa Indonesia, Mhe. Joko…