WAATALAM WA SEKTA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA, UTAMADUNI NA MICHEZO KUTOKA NCHI ZA EAC WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM
Wataalam wa Sekta wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Utamaduni na Michezo kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamekutana leo tarehe 18 Juni 2024 jijini Dar es Salaam katika kikao cha maandalizi ya Mkutano wa Saba wa Baraza…