WAZIRI KOMBO AAGANA NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo ameagana na Balozi wa Algeria Mhe. Ahmed Djellal aliyefika katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam kuaga kwa kumaliza muda wake…
#Mission300
#Mission300 #AfricaEnergy #EnergyTransformation
Balozi wa Japan amaliza muda wake wa uwakilishi nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amemuaga Balozi wa Japan nchini, Mhe. Yasushi Misawa anayetarajia kumaliza muda wake wa uwakilishi Januari 17, 2025.Mhe. Kombo ameishukuru…
#EnergyTransformation
#Mission300 #AfricaEnergy #EnergyTransformation
WAANDISHI WAPIGWA MSASA KUHUSU MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA
Imeelezwa kuwa Tanzania haikuchaguliwa kwa bahati mbaya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, isipokuwa imekidhi vigezo ambavyo waandaji wamejiridhisha navyo.Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Ushirikiano…
Waziri Kombo Aongoza Mkutano wa Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama SADC
Mkutano wa Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umefanyika Zanzibar tarehe 04 Januari, 2025 chini ya uenyekiti wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…