Tanzania China za kubaliana kuendeleza Ushirikiano wa Kimkakati
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Wang Yi, na kukubaliana…
Waziri wa Mambo ya Nje China Awasili Nchini
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mheshimiwa Wang Yi, amewasili Dar es Salaam, Tanzania, kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kuanzia tarehe 9 hadi 10 Januari…
Naibu Waziri Millya akutana na Uongozi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Kinyasi Millya (Mb), amekutana na Amiri na Mbashiri Mkuu wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania, Shekh Khawaja…
Tanzania to Benefit from Over USD 15 Million to Address Environmental Challenges
The United Republic of Tanzania is set to benefit from funding amounting to USD 15,096,716 through the United Nations Environment Program (UNEP) to support projects aimed at enhancing resilience to the impacts of climate change through…