WAZIRI TAX ASISITIZA UBORA WA KAZI KWA WATUMISHI WA WIZARA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax amewasisitiza watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa kujituma na kuzingatia ubora wa kazi wanapotekeleza majukumu yao.Waziri Tax ameyasema hayo…