MHE. RAIS SAMIA AWASILI NCHINI UTURUKI KWA ZIARA YA KITAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili katika jijini Ankara, Uturuki leo tarehe 17 Aprili 2024 kuanza ziara yake ya kitaifa ya siku nne inayofanyika kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri…