DKT. MWINYI: MABALOZI JENGENI UHUSIANO MZURI NA SEKTA ZA UMMA, BINAFSI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje kujenga uhusiano wa karibu na Taasisi za Umma na Binafsi za pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano…