TANZANIA YAFUNGUA RASMI OFISI ZA UBALOZI NCHINI NAMIBIA
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imefungua rasmi Ofisi za Ubalozi jijini Windhoek, Namibia.Hafla ya ufunguzi wa ofisi hizo za ubalozi ulihudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri…