Waziri aongoza Waangalizi wa Uchaguzi wa SADC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akifungua Misheni ya timu ya Uangalizi wa Uchaguzi wa Wabunge tarehe 2 Septemba, 2016 Mahe-Shelisheli. Mheshimiwa Waziri anamuwakilisha Rais wa Jamhuri…