Taarifa zaidi kuhusu fursa za ufadhili huo ikiwemo sifa na taratibu za uombaji zinapatikana kupitia tovuti ya Ubalozi wa Japan nchini Tanzania
https://www.tz.emb-japan.go.jp/itpr_en/mext2024.html
Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania na kurejea nchini Rwanda.Mheshimiwa Kagame ameagwa katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam na Waziri…
Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame, awasili nchini kwa Ziara ya Kikazi ya siku mbili tarehe 27 - 28 April, 2023. Mheshimiwa Rais Paul Kagame na Ujumbe wake amepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ujasiri wa kufanya uamuzi wa haraka wa kuwarejesha…
Makamu wa Rais wa Marekani, Mhe. Kamala Harris ameondoka nchini baada ya kumaliza ziara yake ya kihistoria ya siku tatu iliyofanyika kuanzia tarehe 29 hadi 31 Machi 2023 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongeza kuimarika kwa ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Marekani hususan kwenye sekta zinazochangia kuboresha maisha ya watanzania kama afya, elimu,…