WAZIRI MULAMULA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA 24 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA SADC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Liberata Mulamula ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Ushirikiano katika masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama…