Skip to main content

Rais wa Sierra Leone Awasili nchini

Rais wa Jamhuri ya Sierra Leone, Mheshimiwa Julius Maada Bio, amewasili jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati, unaotarajiwa kufanyika katika Kituo cha Mikutano cha …

Madereva Comoro Waangazia Fursa Tanzania

Mkutano baina ya Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu na Viongozi wa Umoja wa Madereva Nchini humo ambapo viongozi hao wamefika kuangalia fursa za ushirikiano na wenzao wa Tanzania ikiwa ni pamoja na mafunzo hususan kwa vyombo…