WAZIRI MAKAMBA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA WIZARA MTUMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb) ametembelea mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi za Wizara unaoendelea katika mjini wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Lengo la kutembelea mradi huo ni…