Skip to main content
Habari na Matukio

Watumishi wa umma Zanzibar wapigwa msasa kutekeleza Mipango ya Serikali

  • Naibu Katibu Mkuu, Bw. Kubingwa Mashaka Simba akitoa hotuba kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika ufunguzi wa Warsha ya ya kuunganisha mipango ya APRM na Mipango ya Serikali
  • Sehemu ya viongozi waliohudhuria kwenye Warsha hiyo wakimsikiliza kwa makini Mhe. Simba.
  • Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Nje Zanzibar, Bw. HAji Kombo (katikati), wa kwanza kushoto ni Mratibu wa Utawala APRM, na kulia ni Amani A.M. Shein nao wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa Warsha hiyo.
  • Picha ya pamoja mara baada ya kumaliza ufunguzi wa Warsha hiyo.