Skip to main content
News and Events

Waziri Mahiga atembelea Ubalozi wa Palestina nchini

Waziri Mahiga atembelea Ubalozi wa Palestina nchini

  • Mhe. Waziri Mahiga akisisitiza jambo katika mazungumzo yaliyofanyika Ubalozini hapo, lengo la mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine ni kuzidi kuboresha mahusiano yaliyopo kati ya Tanzania na Palestina.