Skip to main content
News and Events

Waziri Mahiga akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi

Waziri Mahiga akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi

  • Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt Augustine Mahiga akimkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Mhe. Alain Aime Nyamitwe alipomtembelea Wizarani, tarehe 1 Machi,2018, Dar es Salaam